Mbosso Lyrics
Pawa by Mbosso is an emotional Bongo Flava track about deep love, devotion, and being overwhelmed by strong feelings, as the lyrics focus on a man who is completely consumed by his partner’s affection. The song centers on how powerful and “heavy” her love feels (“naishiwa pawa” losing strength), emphasizing that he can’t resist or live without it, while using metaphors like love as an intoxicating drink to highlight obsession, emotional surrender, and the intensity of his romantic attachment.
Room Number 3 EP Cover ArtMbosso - Pawa Lyrics
Intro
S2Kizzy, Baby
Verse 1
Kamusi namaliza kurasa kukusifia
Matusi naiona BASATA wakinifungia
Theluthi hizi raha ninazopata mia fil mia, ah
Mjusi ukuta wa plasta na uparamia
Pre-Chorus
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Chorus
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Verse 2
Nilifeli secondary kwendaga chuo
Ila kufeli penzi lako sina hilo chaguo
Yeremia mstari nifunue Ufunuo, oh
Nikupambe kwa matari mwilini iwe nguo
Bridge
Na kama penzi ni chupa la bia
Nipe sana niwe mlevi ni yumbe‑yumbe njia
Kwa maana we mlezi na unanijulia
Hawana hawawezi pakukuibia dear
Post-Chorus
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito, naishiwa pawa
Pawa, pawa, naishiwa pawa
Penzi lako mizani mizito naishiwa pawa
Outro
Ka Mix Lizer
Check Lyrics of latest songs here, and get fresh updates as they drop via X and Facebook
The post Pawa Lyrics by Mbosso appeared first on NotjustOk.

1 hour ago
2







